Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray akizungumza na Wauguzi kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania (hawapo pichani) wakati Naibu Waziri huyo alipokuwa katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani tarehe 12 Mei, 2026 katika ukumbi wa AICC Jijini Arusha.
Washiriki wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Dunuani wakifuatilia hotuba ya Mheni Rasmi ambaye ni Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Regina Qwaray (hayupo pichani) wakati walipokuwa katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani Jijini Arusha.