
Komredi Jokate Mwegelo ameambatana na
Naibu Katibu Mkuu wa CCM
anayefanyia kazi zake Zanzibar
Komredi Abdi Mahmoud Abdi.
Katibu Mkuu wa Jumyiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Jokate Mwegelo (MNEC) akikabidhiwa maua wakati wa mapokezi yake mkoani humo.
Mapokezi makubwa yakifanyika ya kumpokea Katibu Mkuu wa Jumyiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Jokate Mwegelo (MNEC)
Mapokezi yakifanyika.
Picha za Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan zikioneshwa wakati wa mapokezi hayo.
Katibu Mkuu wa Jumyiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Jokate Mwegelo (MNEC)akivikwa skafu wakati wa mapokezi hayo.
Vijana wa Itifaki wakiwa tayari kwa mapokezi ya Katibu Mkuu wa Jumyiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Jokate Mwegelo (MNEC).
0 Comments