RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI MKUTANO WA AFRIKA (FOCAC) BEIJING NCHINI CHINA - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, September 5, 2024

RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI MKUTANO WA AFRIKA (FOCAC) BEIJING NCHINI CHINA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) katika ukumbi wa The Great Hall of the People Jijini Beijing nchini China tarehe 05 Septemba, 2024.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad