RAIS . DKT. SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA VIWANDA NA KILIMO CHA KISASA JIJINI BEIJING - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, September 5, 2024

RAIS . DKT. SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA VIWANDA NA KILIMO CHA KISASA JIJINI BEIJING

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki na kuhutubia katika Mkutano wa Ngazi ya Juu unaohusu Ukuaji wa Viwanda na Kilimo cha Kisasa Afrika kwenye Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha China mjini Beijing, tarehe 5 Septemba, 2024.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad