RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUNUKU TUZO YA CHAKULA BARANI AFRIKA

Subscribe Us

RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUNUKU TUZO YA CHAKULA BARANI AFRIKA

Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Barani Afrika akiwatambulisha Profesa Mary Abukutsa-Onyango kutoka Kenya (kulia) na Mercy Diebiru-Ojo kutoka Nigeria ambao ni washindi wa Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025 (Africa Food Prize 2025) kwenye hafla iliyofanyika mjini Dakar, Senegal, pembezoni mwa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AFSF) linaloendelea kuanzia tarehe 1 hadi 5 Septemba 2025.

Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Barani Afrika akiwa na Profesa Mary Abukutsa-Onyango kutoka Kenya (kulia) na Mercy Diebiru-Ojo kutoka Nigeria ambao ni washindi wa Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025 (Africa Food Prize 2025) kwenye hafla iliyofanyika mjini Dakar, Senegal, pembezoni mwa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AFSF) linaloendelea kuanzia tarehe 1 hadi 5 Septemba 2025.

Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwenye hafla ya kutoa tuzop ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025  mjini Dakar, Senegal, pembezoni mwa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AFSF) linaloendelea kuanzia tarehe 1 hadi 5 Septemba 2025.
Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Barani Afrika akiwa na Mwenyekiti wa AGRA NA Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia, Mhe Hailemariam Dessalegn na Profesa Mary Abukutsa-Onyango kutoka Kenya na Mercy Diebiru-Ojo kutoka Nigeria ambao ni washindi wa Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025 (Africa Food Prize 2025) kwenye hafla iliyofanyika mjini Dakar, Senegal, pembezoni mwa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AFSF) linaloendelea kuanzia tarehe 1 hadi 5 Septemba 2025.

Post a Comment

0 Comments