Mbunge wa Jimbo la Ikungi Mashariki Mkoa wa Singida, Mhe Thomas Mgonto (katikati)
,akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Uledi Mussa (kushoto)
na Naibu Kamishna wa TRA, Mcha Hassan Mcha (kulia), alipokutana na mabosi wake hao
aliofanya nao kazi TRA, katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Bajeti leo Februari
11, 2026 Bungeni Jijini Dodoma.
Mbunge wa Jimbola Ikungi Mashariki Mkoa wa Singida Mhe Thomas Mgonto (katikati)
,akiwa na mabosi wake aliofanya nao kazi Makao Makuu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jijini Dar es Salaam.







No comments:
Post a Comment