Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Mhe. Abubakar Amin Mrisha kuwa Jaji wa Mahakama Kuu katika hafla
fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Sylvester Joseph Kainda kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufanikatika
hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha
Idriss Ramadhan Mavura kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi katika
hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Suzanne Ndomba Doran kuwa Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi
katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Junus Purasdus Ndaro kuwa Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi
katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Dkt. Alhaj Almas Seleman kuwa Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na
Uamuzi katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba,
2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Agnes Kisaka Meena kuwa Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi
katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akimuapisha Hangi Matekeleza Chang’a kuwa Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na
Uamuzi katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba,
2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanakimuapisha
Rifai Abdallah Mkumba kuwa Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi katika hafla
iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Kamishna wa Maadili Jaji Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi akiwaongoza
Kiapo cha Maadili Msajili wa Mahakama ya Rufani, Mwenyekiti wa Tume ya
Usuluhishi na Uamuzi pamoja na Wajumbe wa Tume hiyo mara baada ya kuapishwa na
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye hafla
iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Kamishna wa Maadili Jaji Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi akiwaongoza Kiapo cha Maadili Msajili wa Mahakama ya Rufani, Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi pamoja na Wajumbe wa Tume hiyo mara baada ya kuapishwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Kamishna wa Maadili Jaji Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi akiwaongoza
Kiapo cha Maadili Msajili wa Mahakama ya Rufani, Mwenyekiti wa Tume ya
Usuluhishi na Uamuzi pamoja na Wajumbe wa Tume hiyo mara baada ya kuapishwa na
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwenye hafla
iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Viongozi walioapishwa wakiweka saini kwenye viapo vyao vya Maadili Ikulu
Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi,Idriss Ramadhan Mavura mara baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi,Idriss
Ramadhan Mavura mara baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino
mkoani Dodoma tarehe 01 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye picha ya pamoja naJaji wa Mahakama Kuu Mhe. Abubakar Amin Mrisha mara
baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 01
Oktoba, 2022.























No comments:
Post a Comment