Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es salaam akitokea Davos nchini Uswisi ambapo alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF). Kulia ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo. Tarehe 20 Januari 2024.
Saturday, January 20, 2024
MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKIWASILI NCHINI KUTOKA DAVOS
Tags
# Habari
Kuhusu - Singidaniblog
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,









No comments:
Post a Comment