Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwalimu wake aliyemfundisha Chuo cha IDM Mzumbe (Sasa Chuo Kikuu Mzumbe) Mwl. Sabina Geleja (kulia) na aliyekuwa mwanafunzi mwenzake Dkt. Stella Kinemo mara baada ya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Kampasi mpya ya Chuo Kikuu Mzumbe tarehe 4 Agosti, 2024
Sunday, 4 August 2024
RAIS SAMIA AKUTANA NA MWALIMU WAKE WA CHUO KIKUU MZUMBE
Tags
# Elimu
Kuhusu - Singidaniblog
Elimu
Tags:
Elimu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,










No comments:
Post a Comment