Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Peramiho, katika
muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.
Wananchi wa Jimbo la
Peramiho wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika mjini hapo Mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024.














No comments:
Post a Comment