Mkuu wa wilaya ya Nyang’wale Grace Kingalame akipata maelezo kutoka kwa
Kulwa James Kasuka, Mhasibu Mwandamizi kutoka Bodi ya Bima ya Amana DIB wakati alpotembekea banda hilo kwenye
maonesho ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya EPZ
Bombambili mjini Geita Oktoba 10, 2024, kulia ni Afisa wa Bodi ya Bima ya Amana
(DIB) Careen Max. Mkuu wa wilaya ya Nyang’wale Grace Kingalame akipokea zawadi kutoka kwa
Kulwa James Kasuka, Mhasibu Mwandamizi kutoka Bodi ya Bima ya Amana DIB wakati alipotembekea banda hilo kwenye
maonesho ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya EPZ
Bombambili mjini Geita Oktoba 10, 2024,









No comments:
Post a Comment