RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA KUNDI LA MAKAMPUNI YA VODACOM - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, 3 October 2024

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA KUNDI LA MAKAMPUNI YA VODACOM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo  na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kundi la Makampuni ya Vodacom Bw. Sakumzi Macozoma pamoja na ujumbe wake mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Oktoba, 2024.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kundi la Makampuni ya Vodacom Bw. Sakumzi Macozoma akiwa kwenye mazungumzo hayo.

Kikao kikiendelea.
Kikao hicho kikiendelea.
Muonekano wa kikao hicho.
 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad