Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya
Musoma mara baada ya kutoka kuweka jiwe la msingi katika Hospitali ya
Halmashauri ya Wilaya Musoma wakati wa ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua
na kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Mara.
Baadhi ya Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya Musoma wakimsikiliza Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.
George Simbachawene (hayupo pichani) wakati akizungumza nao mara baada ya
kutoka kuweka jiwe la msingi katika Hospitali ya Wilaya ya Musoma wakati wa
ziara yake ya kikazi iliyolenga kukagua na kuzindua utekelezaji wa miradi
mbalimbali ya maendeleo mkoani Mara.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akielekea kukagua majengo ya Hospitali ya
Halmashauri ya Wilaya Musoma wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo
iliyolenga kukagua na kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo
mkoani Mara.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Mara,
Kanali Evance Mtambi wakati wa ziara ya kikazi ya Waziri huyo iliyolenga
kukagua na kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani Mara.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akisisitiza jambo baada ya kukagua mashine ya
x-ray wakati wa ziara yake ya kikazi katika mkoa wa Mara iliyolenga kukagua na
kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akisalimiana na Viongozi wa Mkoa wa Mara baada
ya kuwasili mkoani humo kwa lengo la kufanya ziara ya kikazi ya kukagua na
kuzindua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na
wananchi.











No comments:
Post a Comment