KWA MAHITAJI YA KUKU CHOTARA WANAOTAGA WANAPATIKANA GOBA JIJINI DAR ES SALAAM - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, June 3, 2025

KWA MAHITAJI YA KUKU CHOTARA WANAOTAGA WANAPATIKANA GOBA JIJINI DAR ES SALAAM

Kwa mahitaji ya kuku chotara wanaokaribia kutaga na wanaotaga wanapatikana kwetu kwa bei nafuu kuanzia Sh. 18,000- 20,000

Majogoo yanapatikana kwa bei ya Sh.22,000 huku Mayai Tray tukiuza Sh. 17,000 karibu sana tukuhudumie.

Tunapatikana Goba na Mcity kwa mawasiliano Tupigie 0677303000 au tembelea kilimotzblog.blogspot.com.




 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad