Hii
ni simulizi yangu ya kweli, na kama mwanaume, ilikuwa ni aibu kuu kukiri kuwa
nilikuwa nimeishiwa nguvu za kiume. Nilianza kwa kupuuza, nikidhani ni stress
au uchovu wa kawaida.
Lakini miezi ilivyopita, hali haikubadilika badala yake, ilizidi kuwa mbaya. Nikiwa na miaka 34, mke wangu alianza kuonekana mwenye huzuni. Alikuwa mpole lakini mbali. Sikuhitaji kuuliza kujua kwamba alikata tamaa..









No comments:
Post a Comment