..................................
Na Dotto Mwaibale, Singida
Rebecca Julius Wellia wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Singida amerudisha
fomu ya kuomba ridhaa ya kupitishwa na chama
chake kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalumu kupitia kundi la vijana.
Wellia amerejesha fomu hiyo leo Julai 2, 2025 na kupokelewa
na Katibu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Benedictor Bujiku.
Makada wengine wanaowania nafasi hiyo ni Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Rehema Sombi Omary na Munira George
Rebecca Julius Wellia akihojiwa na waandishi wa habari.







No comments:
Post a Comment