WALINIIBIA PESA ZANGU SOKONI, LAKINI HATUA NILIYOPIGA ILINIRUDISHIA KILA KITU - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, 27 September 2025

WALINIIBIA PESA ZANGU SOKONI, LAKINI HATUA NILIYOPIGA ILINIRUDISHIA KILA KITU

Siku hiyo nilikuwa nimeamka mapema kuenda sokoni kununua bidhaa za kuuza dukani kwangu.

Nilikuwa nimebeba pesa taslimu kwa sababu wauzaji wengi wa jumla hukubali pesa taslimu pekee.

 Nilipofika sokoni, nilipanga bidhaa nilizohitaji na kulipa.

 Lakini dakika chache baadaye, nilipoingiza mkono mfukoni kuchukua pesa za kulipia mizigo mingine, niligundua mfuko wangu ulikuwa tupu. Nilihisi miguu ikinikatika.

SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad