Kwa jina naitwa Kevin Otieno kutoka Nairobi.
Kwa miaka mingi nilikuwa mpenzi wa michezo ya kubashiri hasa Premier League, lakini haijawahi kunipa faida yoyote.
Kila wikendi nilikuwa na matumaini mapya, nikitumia akili na muda wangu kubashiri, lakini mwisho wake ilikuwa ni hasara tupu.
Nilifika hatua ya kuuza simu yangu ili niweze kuweka bet kubwa nikitarajia kushinda, lakini nilipoteza kila kitu.
Wakati mwingine nililala njaa, lakini bado nikaweka bet nikiamini labda bahati yangu itacheka kesho.








No comments:
Post a Comment