Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban akifatilia Kikao cha Taasisi ya Usimamizi wa Uchumi Jumla na Fedha kwa Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika (MEFMI), kilichofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, inayoendelea jijini Washington D.C, Marekani.
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Yamungu Kayandabila akifatilia Kikao cha Taasisi ya Usimamizi wa Uchumi Jumla na Fedha kwa Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika (MEFMI), kilichofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, inayoendelea jijini Washington D.C, Marekani.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban akiteta jambo na Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Yamungu Kayandabila wakati wa Kikao cha Taasisi ya Usimamizi wa Uchumi Jumla na Fedha kwa Nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika (MEFMI), kilichofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia inayoendelea jijini Washington D.C, Marekani.
0 Comments