TANZIA: MWANAHABARI DANIEL MBEGA AFARIKI DUNIA - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, 11 October 2025

TANZIA: MWANAHABARI DANIEL MBEGA AFARIKI DUNIA


 Daniel Mbega enzi za uhai wake

....................................

Na Dotto Mwaibale 

Mwandishi wa Habari Mkongwe Daniel Mbega amefariki dunia Oktoba 11, 2025 nyumbani kwake Mbande Jijini Dar es Salaam. 

Mtoto mkubwa wa marehemu, Baraka Mbega amesema baba yake amefariki leo Oktoba 11, 2025 majira ya saa 11 alfajiri baada ya kuugua kwa muda mrefu. 

Alisema mipango ya mazishi inafanyika na taarifa za ratiba ya mazishi yake itatolewa baada ya kikao cha ndugu ambacho kinafanyika. 

Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, apumzike kwa amani. AMINA.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad