MHE. DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DAR ES SALAAM - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, 2 December 2025

MHE. DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Desemba, 2025.
Sehemu ya Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 02 Desemba, 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad