Nilijua kosa langu lilikuwa kubwa. Baada ya kumcheati bibi yangu, nyumba yetu ilijaa huzuni, hasira, na dhihaka. Kila siku tulipokutana, macho yake yalionyesha maumivu na kutoridhika.
Nilijua kwamba maisha yetu ya familia yalikuwa kwenye hatari, na hatimaye upendo wetu ungeishia kwa shida isiyo na mwisho.
Nilijaribu njia za kawaida kuomba msamaha, kuzungumza kwa maneno, na kuahidi kubadilika lakini hofu na uchungu wake hazikupungua. Nilihisi kuwa mambo hayangeweza kurekebishwa.
Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la hekima na busara, la sivyo upendo wetu ungeishia kudorora milele.








No comments:
Post a Comment