NILIKUWA NINAANDAMWA NA MATESO YASIYOELEZEKA NILIPATA AMANI BAADA YA KUELEWA KILICHOKUWA KINANIKABILI - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, 3 January 2026

NILIKUWA NINAANDAMWA NA MATESO YASIYOELEZEKA NILIPATA AMANI BAADA YA KUELEWA KILICHOKUWA KINANIKABILI

Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi katika hofu nisiyoielewa.

 Nilihisi presha kubwa kichwani, ndoto za kutisha kila usiku, na wakati mwingine nilikuwa nahisi kama kuna nguvu inayonizuia kufanya mambo ya kawaida.

Usingizi ulikuwa shida, amani ikapotea, na hata watu wa karibu waliiniona nikibadilika tabia. Nilijaribu kueleza hali yangu, lakini wengi hawakunielewa; wengine walidhani ni mawazo tu.

Nilianza kutafuta msaada wa aina mbalimbali, nikizungumza na watu tofauti na kujaribu kujisaidia kivyangu, lakini hali haikupungua.

 Kadri siku zilivyopita, niliishi kwa wasiwasi nikihofia kuamka asubuhi au kulala usiku.

Endelea Kusoma

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad