Kwa muda wa miaka mitano, kila usiku ulikuwa ni vita. Nililala nikiwa na hofu, mawazo yasiyoisha yakipita kichwani mwangu, na huzuni kubwa ikinidhibiti.
Hakuna dawa nilizojaribu zilizowezesha kulala kwa amani; kila njia ya kawaida ilishindikana. Nilijikuta nikipoteza nguvu ya kufikiria vizuri, na maisha yangu ya kila siku yakawa mzigo.
Baada ya kushauriwa na rafiki wa karibu, nilijua lazima nijaribu kitu kipya...









No comments:
Post a Comment