Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akiwasili Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tambukareli
Jijini Dodoma kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Mkuu wa mwaka wa Chama cha
Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) tarehe 13 Januari, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akiteta na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju
kabla ya kufungua Mkutano wa Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mahakimu na
Majaji Tanzania (TMJA) uliofanyika katika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania,
Tambukareli, Jijini Dodoma tarehe 13 Januari, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha
Mahakimu na Majaji Tanzania (TMJA) kabla ya kufungua mkutano huo uliofanyika
katika Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania, Tambukareli, Jijini Dodoma tarehe
13 Januari, 2026.













No comments:
Post a Comment