RAIS. DKT. SAMIA AONGOZA ZOEZI LA KUPANDA MITI WAKATI WA KUMBUKUMBU YA SIKU YAKE YA KUZALIWA - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, January 27, 2026

RAIS. DKT. SAMIA AONGOZA ZOEZI LA KUPANDA MITI WAKATI WA KUMBUKUMBU YA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa Muembe (Mangifera indica) katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 27 Januari, 2026, wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa. Rais Mhe. Dkt. Samia alizaliwa tarehe 27 Januari, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.  

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad