TANZIA: MWANAHABARI AFIWA NA MAMA YAKE - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, 6 January 2026

TANZIA: MWANAHABARI AFIWA NA MAMA YAKE

Mwanahabari Joachim Ernest Mushi anasikitika kutangaza kifo cha Mama yake mzazi  Mecktilda Joseph Lugazu  kilichotokea Januari 6, 2026 Hospitali ya General Jijini Dodoma alikokuwa akipatiwa matibabu.

Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwake Kifuru-Kinyerezi Ilala Jijini Dar es Salaam ambapo mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa Januari 9, 2026 kutoka Dodoma kuelekea Uru Mawela, mkoani Kilimanjaro kwa mazishi yatakayo fanyika Januari 10, 2026 nyumbani kwao Mawela.

Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad