RAIS DKT. SAMIA ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, 27 February 2026

RAIS DKT. SAMIA ASHIRIKI MISA TAKATIFU YA KUMUOMBEA MAREHEMU MWADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo mara baada ya kuwasili katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jijini Dar es Salaam, tarehe 27 Februari, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye Misa Takatifu ya kumuombea na kumuaga Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jijini Dar es Salaam, tarehe 27 Februari, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad