Talaka ni jambo linaloumiza sana na mara nyingi huanza taratibu bila wanandoa kutambua mapema. Mimi ni Joseph kutoka Arusha, na nilikuwa karibu kabisa kupoteza ndoa yangu ya miaka kumi. Migogoro midogo iligeuka kuwa mikubwa, mawasiliano yakapotea, na kila mmoja akaanza kuishi kivyake. Ilifika hatua tukaanza hata kuzungumzia talaka waziwazi.
Nilipokuwa nimekata tamaa, nilikutana na rafiki aliyenishauri kutafuta msaada wa ziada badala ya kuacha mambo yaendelee kuharibika.








No comments:
Post a Comment