Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba kwa Ziara ya Kijamii ya siku mbili, tarehe 13 Machi, 2026. Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Rais atashiriki Iftar ya pamoja na Viongozi na Wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba.
Friday, 13 March 2026
RAIS DKT. SAMIA AWASILI PEMBA KWÀ ZIARA YA KIJAMII YA SIKU MBILI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,










No comments:
Post a Comment