RAIS DKT. SAMIA AWASILI PEMBA KWÀ ZIARA YA KIJAMII YA SIKU MBILI - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, 13 March 2026

RAIS DKT. SAMIA AWASILI PEMBA KWÀ ZIARA YA KIJAMII YA SIKU MBILI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba kwa Ziara ya Kijamii ya siku mbili, tarehe 13 Machi, 2026. Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Rais atashiriki Iftar ya pamoja na Viongozi na Wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad