SIRI YA MZEE WA MIAKA 45 ALIYEPATA MREMBO BAADA YA KUTESEKA NA UPWEKE - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, 17 March 2026

SIRI YA MZEE WA MIAKA 45 ALIYEPATA MREMBO BAADA YA KUTESEKA NA UPWEKE

Jina langu ni Josephat, mkazi wa Mwanza, maarufu kama jiji la miamba. Kwa muda mrefu, watu walikuwa wakiniita “Bachelor Sugu.” Nilijitahidi kutafuta mwanamke wa kutulia naye lakini kila niliyempata alikuwa mchepukaji au mharibifu wa mali. Nilifikia hatua ya kuogopa wanawake kabisa.

Nilikua nikiona umri wangu ukisogea kuelekea miaka 50 nikiwa sina hata mtoto wa kunirithi. Upweke ulikuwa unaniua, nyumba yangu kubwa ilikuwa haina sauti ya mtoto wala harufu ya mapishi ya mke.

SOMA  ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad