
Tunataarifu umma kuhusu kupotea kwa kaka yetu
Jina: PETER MAKANGALE
Eneo alipopotea: Stendi ya Mabasi Magufuli Dar es Salaam.
Tarehe: Aliondoka nyumbani tangu wiki iliyopita, changamoto
kubwa ni afya ya akili
Taarifa ya kupotea kwake imeripotiwa kituo cha Polisi.
Tunaomba yeyote mwenye taarifa zozote kuhusu alipo au
atakayemuona, tafadhali awasiliane nasi mara moja kupitia namba za kaka yake:
0784-072691 /0783 570 024 na 0754 243724







No comments:
Post a Comment