Tumbo liliniumiza kwa miaka mitatu mpaka tiba ya mitishamba iliponipa nafuu ambayo hospitali zilishindwa.
Jina langu ni Salma. Mimi ni mama wa watoto wawili kutoka Zanzibar, na kama kuna kitu ambacho sitaki kukumbuka tena katika maisha yangu ni kipindi nilichoteseka na maumivu ya tumbo kwa muda wa miaka mitatu. Ilikuwa ni hali iliyobadilisha maisha yangu kabisa. Watu wengi walikuwa wakiniona nje wakidhani niko sawa, lakini ndani nilikuwa naishi na maumivu ambayo yalikuwa yananifanya nijisikie dhaifu kila siku.








No comments:
Post a Comment