𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐎𝐊𝐎𝐀 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐑𝐔𝐃𝐈 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐔𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐍𝐀𝐍𝐄 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐒𝐈𝐊𝐔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, 24 April 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐎𝐊𝐎𝐀 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐑𝐔𝐃𝐈 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 𝐔𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐍𝐀𝐍𝐄 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐒𝐈𝐊𝐔

Kwa muda fulani, ndoa yangu ilianza kubadilika bila mimi kuelewa chanzo. Mume wangu alianza kuchelewa kurudi nyumbani, mara nyingi usiku wa manane.

Mazungumzo yetu yakapungua, na ukimya ukachukua nafasi ya upendo tuliozoea. Nilijaribu kumuuliza mara kwa mara, lakini majibu yake yalikuwa mafupi na yasiyoeleweka.

Hali hii ilianza kuniumiza sana. Nilihisi kama namkupoteza taratibu. Kila usiku nililala nikiwa na mawazo mengi, nikijiuliza nini kilikuwa kikiendelea. Nilijaribu kuwa mvumilivu, lakini hofu ilizidi. Ndoa yetu ilianza kukosa joto na ukaribu.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad