Kumeibuka mjadala mkali miongoni mwa waumini baada ya taarifa kusambaa kuwa mchungaji mmoja anayejulikana kama Pastor Akili amekuwa akitumia pete ya ajabu kuvutia washirika kanisani kwake.
Taarifa hizi zimezua hisia kali huku baadhi ya wakazi wakidai kushuhudia ongezeko la ghafla la waumini katika ibada zake za hivi karibuni.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na kanisa hilo, idadi ya washirika imeongezeka kwa kiwango kikubwa ndani ya muda mfupi.
Wengi wanadai kuwa walijikuta wakivutiwa kujiunga na kanisa hilo bila kuelewa sababu kamili.
Baadhi ya waumini wameeleza kuwa walihisi nguvu isiyo ya kawaida iliyowasukuma kuhudhuria ibada za Pastor Akili mara kwa mara.









No comments:
Post a Comment