𝐌𝐓𝐄𝐉𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐊𝐀𝐓𝐀𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐃𝐄𝐍𝐈 𝐋𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐒𝐈𝐓𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐓𝐔𝐌𝐀 𝐅𝐄𝐃𝐇𝐀 𝐙𝐎𝐓𝐄 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄𝐖𝐄 𝐒𝐀𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐂𝐇𝐄 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐘𝐎𝐓𝐀𝐑𝐀𝐉𝐈𝐖𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, April 30, 2026

𝐌𝐓𝐄𝐉𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐊𝐀𝐓𝐀𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐃𝐄𝐍𝐈 𝐋𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐒𝐈𝐓𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐓𝐔𝐌𝐀 𝐅𝐄𝐃𝐇𝐀 𝐙𝐎𝐓𝐄 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄𝐖𝐄 𝐒𝐀𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐂𝐇𝐄 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐘𝐎𝐓𝐀𝐑𝐀𝐉𝐈𝐖𝐀

Kulikuwa na mteja niliyefanya naye biashara kwa uaminifu mkubwa. Tulikubaliana bidhaa na malipo yangekamilika ndani ya muda mfupi, lakini baada ya huduma kutolewa, alianza kubadilika. Wiki zikawa miezi. Kila nilipomtafuta, alikuwa na majibu ya kuahirisha mara yuko safarini, mara ana changamoto za kifedha, mara anasubiri malipo mengine yaingie.

Mwanzoni nilikuwa mvumilivu, lakini muda ulivyoenda, hali ilianza kunitia wasiwasi.

Miezi sita ilipita bila malipo yoyote. 

Nilihisi kuchoka na kukata tamaa, hasa kwa sababu nilikuwa nimeweka imani yangu yote katika makubaliano yetu. Ilifika hatua nikaanza kuona kama sitawahi kulipwa tena.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad