𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄𝐊𝐈𝐓𝐈 𝐂𝐂𝐌 𝐍𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐒𝐇𝐈𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐊𝐎𝐍𝐆𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎 𝐋𝐀 𝐔𝐕𝐂𝐂𝐌, 𝐙𝐀𝐍𝐙𝐈𝐁𝐀𝐑 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, 26 April 2026

𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄𝐊𝐈𝐓𝐈 𝐂𝐂𝐌 𝐍𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀 𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐒𝐇𝐈𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐊𝐎𝐍𝐆𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎 𝐋𝐀 𝐔𝐕𝐂𝐂𝐌, 𝐙𝐀𝐍𝐙𝐈𝐁𝐀𝐑

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Kongamano la Muungano lililofanyika katika Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kuhusu Kiwanda cha Uchapishaji cha Chuo cha Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichopo Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.
Matukio mbalimbali katika Kongamano la Muungano lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Chuo cha Umoja huo, Tunguu, Zanzibar tarehe 26 Aprili, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad