Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid Nsekela baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2026 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid Nsekela baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2026 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid Nsekela baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2026 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.











No comments:
Post a Comment