𝐍𝐀𝐈𝐁𝐔 𝐒𝐏𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐈𝐋𝐋𝐎 𝐀𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐑𝐔𝐆𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐌𝐓𝐄𝐍𝐃𝐀𝐉𝐈 𝐂𝐑𝐃𝐁 𝐁𝐄𝐍𝐊𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, April 28, 2026

𝐍𝐀𝐈𝐁𝐔 𝐒𝐏𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐈𝐋𝐋𝐎 𝐀𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐑𝐔𝐆𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐌𝐓𝐄𝐍𝐃𝐀𝐉𝐈 𝐂𝐑𝐃𝐁 𝐁𝐄𝐍𝐊𝐈

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid Nsekela baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2026 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid Nsekela baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2026 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Sillo, akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Ndg. Abdulmajid Nsekela baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo tarehe 28 Aprili, 2026 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad