Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka akizungumza na
Wanamichezo wanaoshiriki Mashindano ya Mei Mosi, 2026 Mkoani humo wakati
waliofika katika Ofisi za Mkoa huo Aprili 27, 2026 kwa ajili ya zoezi la
upandaji Miti kupitia kampeni ya 27 ya kijani, Mti wa Mama.
Katibu Tawala Mkoa wa Njombe, Dkt. Stephen Nindi akipanda mti
wakati wa zoezi la upandaji miti kupitia Kampeni ya 27 ya kijani, Mti wa
Mama wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa
Njombe Aprili 27, 2026. Anayeshuhudia ni Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Antony Mtaka.

Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo ya Mei Mosi, Bi. Roselyn Massam
akizungumza jambo muda mfupi baada ya kupanda mti wakati wa zoezi la upandaji
miti kupitias kampeni ya 27 ya kijani, Mti wa Mama lililofanywa na
Wanamichezo wanaoshiriki Mashindano ya Mei Mosi, 2026 na kufanyika katika Ofisi
ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Aprili 27, 2026.
Wanamichezo kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wakipanda mti wa pamoja
wakati wa zoezi la upandaji miti kupitia kampeni ya 27 ya kijani lililofanyika
katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Aprili 27, 2026 ikiwa ni sehemu ya
shamrashamra ya maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)
inayofanyika Kitaifa Mkoani humo.
Wanamichezo kutoka Baraza la Taifa la Hifadhin a Usimamizi wa Mazingira
(NEMC) wakipanda mti wa pamoja wakati wa zoezi la upandaji miti kupitia kampeni
ya 27 ya kijani lililofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Aprili 27,
2026 ikiwa ni sehemu ya shamrashamra ya maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi
Duniani (Mei Mosi) inayofanyika Kitaifa Mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka (katikati) akiwa katika
picha ya pamoja na wanamichezo kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais muda mfupi baada
ya kumalizika kwa zoezi la upandaji Miti kupitia Kampeni ya 27 ya Kijani, Mti
wa Mama lililofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Antony Mtaka (katikati) akiwa katika
picha ya pamoja na wanamichezo kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na Baraza la
Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) mfupi baada ya kumalizika kwa
zoezi la upandaji Miti kupitia Kampeni ya 27 ya Kijani, Mti wa Mama
lililofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Wanamichezo kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na Baraza la Taifa la
Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakiwa katika picha ya pamoja mfupi
baada ya kumalizika kwa zoezi la upandaji Miti kupitia Kampeni ya 27 ya Kijani,
Mti wa Mama lililofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
(NA MPIGAPICHA WETU)
----------------------------
𝗠𝗸𝘂𝘂 𝘄𝗮 𝗠𝗸𝗼𝗮 𝘄𝗮 𝗡𝗷𝗼𝗺𝗯𝗲 𝗠𝗵𝗲. 𝗔𝗻𝘁𝗼𝗻𝘆 𝗠𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗠𝗸𝗼𝗮 𝗵𝘂𝗼 𝘂𝗺𝗲𝗽𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝗻𝗮 𝗪𝗶𝘇𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗹𝗶𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶 𝗻𝗮 𝗨𝘁𝗮𝗹𝗶𝗶 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝗸𝗮𝗯𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼 𝘆𝗮𝗻𝗮𝘆𝗼𝘁𝗼𝗸𝗲𝗮 𝗺𝗮𝗿𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗿𝗮 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝗺𝗯𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗻𝗲𝗼 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝗷𝗶𝗷𝗶𝗻𝗶.
𝗠𝗵𝗲. 𝗠𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝗺𝗲𝘁𝗼𝗮 𝗸𝗮𝘂𝗹𝗶 𝗵𝗶𝘆𝗼 𝗔𝗽𝗿𝗶𝗹𝗶 𝟮𝟳, 𝟮𝟬𝟮𝟱 𝘄𝗮𝗸𝗮𝘁𝗶 𝗮𝗸𝗶𝗼𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗮 𝗪𝗮𝗻𝗮𝗺𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗪𝗶𝘇𝗮𝗿𝗮, 𝗜𝗱𝗮𝗿𝗮, 𝗧𝗮𝗮𝘀𝗶𝘀𝗶 𝘇𝗮 𝗨𝗺𝗺𝗮 𝗻𝗮 𝗕𝗶𝗻𝗮𝗳𝘀𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘇𝗼𝗲𝘇𝗶 𝗹𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗸𝘂𝗽𝗶𝘁𝗶𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗽𝗲𝗻𝗶 𝗺𝗮𝗮𝗹𝘂𝗺 𝗶𝗷𝘂𝗹𝗶𝗸𝗮𝗻𝗮𝘆𝗼 “𝟮𝟳 𝘆𝗮 𝗞𝗶𝗷𝗮𝗻𝗶, 𝗠𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝗺𝗮” 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝗹𝗶𝗹𝗶𝗹𝗼𝗳𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘇𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗼 𝗠𝗮𝗸𝘂𝘂 𝗠𝗸𝗼𝗮 𝗵𝘂𝗼.
𝗠𝗵𝗲. 𝗠𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼 𝗠𝗸𝗼𝗮𝗻𝗶 𝗵𝘂𝗺𝗼 𝘆𝗮𝗺𝗲𝗸𝘂𝘄𝗮 𝘆𝗮𝗸𝗶𝗷𝗶𝘁𝗼𝗸𝗲𝘇𝗮 𝗺𝗮𝗿𝗮 𝗻𝗮 𝗵𝗶𝘃𝘆𝗼 𝗸𝘂𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗵𝗮𝘀𝗮𝗿𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗮𝘄𝗲𝗸𝗲𝘇𝗮𝗷𝗶, 𝘄𝗮𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗼𝗷𝗶𝗵𝘂𝘀𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗻𝗮 𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝘇𝗮𝗼 𝘆𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗶𝗸𝗶𝘄𝗲𝗺𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗼 𝗻𝗮 𝗻𝗴𝘂𝘇𝗼 𝘇𝗮 𝘂𝗺𝗲𝗺𝗲.
“𝗞𝘂𝗮𝗻𝘇𝗶𝗮 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝟮𝟬𝟮𝟭-𝟮𝟬𝟮𝟲 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼 𝗵𝗮𝗽𝗮 𝗡𝗷𝗼𝗺𝗯𝗲 𝘆𝗮𝗺𝗲𝘀𝗮𝗯𝗮𝗯𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗵𝗮𝘀𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝗦𝗵𝗶𝗹𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗕𝗶𝗹𝗶𝗼𝗻𝗶 𝟮𝟬𝟬 𝗻𝗮 𝗵𝗮𝘁𝘂𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝘂𝗺𝗲𝘁𝘂𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗸𝘂𝗰𝗵𝘂𝗸𝘂𝗮 𝗵𝗮𝘁𝘂𝗮 𝘇𝗮 𝘁𝗮𝗵𝗮𝗱𝗵𝗮𝗿𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗸𝘂𝗸𝗮𝗯𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗵𝗮𝘆𝗼” 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗠𝗵𝗲. 𝗠𝘁𝗮𝗸𝗮.
𝗔𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗳𝘂𝗮𝘁𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗹𝗶 𝗵𝗶𝘆𝗼, 𝗦𝗲𝗸𝗿𝗲𝘁𝗮𝗿𝗶𝗲𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗸𝗼𝗮 𝗵𝘂𝗼 𝗶𝗺𝗲𝗽𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝗻𝗮 𝗪𝗶𝘇𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗹𝗶𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗮𝗷𝗶𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗮𝗻𝗱𝗮𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗽𝗲𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗲𝗹𝗶𝗺𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝘂𝗺𝗺𝗮 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘄𝗮𝗲𝗹𝗶𝗺𝗶𝘀𝗵𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗻𝗲𝗼 𝘆𝗮 𝘃𝗶𝗷𝗶𝗷𝗶 𝗻𝗮𝗺𝗻𝗮 𝗯𝗼𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗸𝗮𝗯𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼.
𝗔𝗺𝗲𝗼𝗻𝗴𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗻𝗮 𝗸𝘂𝗮𝗻𝗱𝗮𝗮 𝗺𝗽𝗮𝗻𝗴𝗼 𝗵𝘂𝗼, 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮𝗸𝗲 𝗸𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗝𝗲𝘀𝗵𝗶 𝗹𝗮 𝗭𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼𝘁𝗼 𝗻𝗮 𝗨𝗼𝗸𝗼𝗮𝗷𝗶 𝗻𝗮 𝗪𝗮𝗸𝗮𝗹𝗮 𝘄𝗮 𝗛𝘂𝗱𝘂𝗺𝗮 𝘇𝗮 𝗠𝗶𝘀𝗶𝘁𝘂 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 (𝗧𝗙𝗦) 𝘁𝗮𝘆𝗮𝗿𝗶 𝘄𝗮𝗺𝗲𝗮𝗻𝘇𝗮 𝗸𝘂𝗲𝗻𝗱𝗲𝘀𝗵𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗽𝗲𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗲𝗹𝗶𝗺𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝘂𝗺𝗺𝗮 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝘇𝘂𝗶𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝗷𝗮𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼.
𝗔𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗳𝘂𝗿𝘀𝗮 𝘇𝗶𝗹𝗶𝘇𝗼𝗽𝗼 𝗠𝗸𝗼𝗮𝗻𝗶 𝗵𝘂𝗺𝗼 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶, 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮𝗸𝗲 𝗶𝗺𝗲𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗱𝗮𝘂 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝘁𝗮𝗮𝘀𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗸𝗶𝗯𝗶𝗮𝘀𝗵𝗮𝗿𝗮 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘆𝗼 𝗶𝗺𝗲𝗸𝘂𝘀𝘂𝗱𝗶𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮𝗳𝗶𝗸𝗶𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗻𝗰𝗵𝗶 𝗻𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮𝘁𝗶 𝘇𝗮 𝗺𝗮𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗿𝗮 𝘇𝗮 𝘃𝗶𝗷𝗶𝗷𝗶.
𝗞𝘄𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗲 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝗠𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲𝗸𝗶𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗞𝗮𝗺𝗮𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝘀𝗵𝗶𝗻𝗱𝗮𝗻𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗲𝗶 𝗠𝗼𝘀𝗶, 𝗥𝗼𝘀𝗲𝗹𝘆𝗻 𝗠𝗮𝘀𝘀𝗮𝗺 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮𝘁𝗶 𝗵𝗶𝘆𝗼 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗺𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝗶𝘁𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝘂𝗻𝗴𝗮 𝗺𝗸𝗼𝗻𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝘃𝗶𝘁𝗲𝗻𝗱𝗼 𝗷𝘂𝗵𝘂𝗱𝗶 𝘇𝗮 𝘀𝗲𝗿𝗶𝗸𝗮𝗹𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗺𝗮𝘀𝘂𝗮𝗹𝗮 𝘆𝗮 𝘂𝗵𝗶𝗳𝗮𝗱𝗵𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗿𝗮 𝗶𝗸𝗶𝘄𝗲𝗺𝗼 𝗸𝘂𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶 𝘇𝗼𝗲𝘇𝗶 𝗹𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝗺𝗶𝘁𝗶.
𝗧𝘂𝗺𝗲𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘇𝗼𝗲𝘇𝗶 𝗵𝗶𝗹𝗶 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝘀𝗵𝗮 𝗺𝘀𝗶𝘀𝗶𝘁𝗶𝘇𝗼 𝘄𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗺𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝘁𝘂𝗻𝘇𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗮𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗿𝗮 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗸𝗲𝗹𝗲𝘇𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗵𝗲 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝗗𝗸𝘁. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶” 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗕𝗶. 𝗠𝗮𝘀𝘀𝗮𝗺.
𝗞𝘄𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗲 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝗞𝗮𝘁𝗶𝗯𝘂 𝘄𝗮 𝗞𝗹𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗸𝗮𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗥𝗮𝗶𝘀, 𝗠𝗮𝗿𝘄𝗮 𝗡𝘆𝗮𝗶𝘀𝗮𝘄𝗮 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗢𝗳𝗶𝘀𝗶 𝗵𝗶𝘆𝗼 𝗶𝗺𝗲𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶 𝘇𝗼𝗲𝘇𝗶 𝗵𝗶𝗹𝗼 𝗹𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝗵𝗮𝗺𝗮𝘀𝗶𝘀𝗵𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗺𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗼𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶 𝗠𝗮𝘀𝗵𝗶𝗻𝗱𝗮𝗻𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗲𝗶 𝗠𝗼𝘀𝗶 𝗸𝘂𝘂𝗻𝗴𝗮 𝗺𝗸𝗼𝗻𝗼 𝗷𝘂𝗵𝘂𝗱𝗶 𝘇𝗮 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝘄𝗮 𝗝𝗮𝗺𝗵𝘂𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝘂𝘂𝗻𝗴𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮, 𝗠𝗵𝗲. 𝗗𝗸𝘁. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻.
“𝗧𝘂𝗺𝗲𝘀𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗺𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝘄𝗲𝗻𝘇𝗲𝘁𝘂 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝗵𝗮𝗺𝗮𝘀𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗽𝗲𝗻𝗶 𝗵𝗶𝗶 𝘆𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝟮𝟳 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗷𝗮𝗻𝗶, 𝗠𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝗺𝗮 𝗻𝗮 𝗽𝗶𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮𝗷𝗲𝗻𝗴𝗲𝗮 𝘂𝘁𝗮𝗺𝗮𝗱𝘂𝗻𝗶 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗺𝗮𝗼𝗳𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮𝗼 𝗻𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗶𝗶 𝗶𝗻𝗮𝘆𝗼𝘄𝗮𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂𝗸𝗮” 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗡𝘆𝗮𝗶𝘀𝗮𝘄𝗮.
𝗡𝗮𝗲 𝗠𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲𝗸𝗶𝘁𝗶 𝘄𝗮 𝗞𝗹𝗮𝗯𝘂 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗕𝗮𝗿𝗮𝘇𝗮 𝗹𝗮 𝗧𝗮𝗶𝗳𝗮 𝗹𝗮 𝗛𝗶𝗳𝗮𝗱𝗵𝗶 𝗻𝗮 𝗨𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗶𝘇𝗶 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗿𝗮 (𝗡𝗘𝗠𝗖), 𝗙𝗼𝗿𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝘂𝘀 𝗣𝗮𝘁𝗿𝗶𝗰𝗸 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝘇𝗼𝗲𝘇𝗶 𝗵𝗶𝗹𝗼 𝗹𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗹𝗶𝗺𝗲𝗸𝘂𝗷𝗮 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗸𝗶𝗽𝗶𝗻𝗱𝗶 𝗺𝘄𝗮𝗳𝗮𝗸𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘁𝗮𝗮𝘀𝗶𝘀𝗶 𝗵𝘂𝘀𝘂𝘀𝗮𝗻𝗶 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗸𝗶𝗽𝗶𝗻𝗱𝗶 𝗵𝗶𝗸𝗶 𝗮𝗺𝗯𝗮𝗽𝗼 𝗶𝗻𝗮𝘁𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝟰𝟬 𝘁𝗮𝗻𝗴𝘂 𝗸𝘂𝗮𝗻𝘇𝗶𝘀𝗵𝘄𝗮 𝗸𝘄𝗮𝗸𝗲.
“𝗞𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝟰𝟬 𝘆𝗮 𝗡𝗘𝗠𝗖 𝘁𝘂𝗺𝗲𝗸𝘂𝘄𝗮 𝘁𝘂𝗸𝗶𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗸𝘂𝗲𝗹𝗶𝗺𝗶𝘀𝗵𝗮 𝘄𝗮𝗻𝗮𝗻𝗰𝗵𝗶 𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝘂𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗻𝘇𝗮 𝗺𝗮𝘇𝗶𝗻𝗴𝗶𝗿𝗮 𝗵𝘂𝘀𝘂𝘀𝗮𝗻𝗶 𝗸𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗻𝗶 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝘁𝘂𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼𝘁𝗮𝗺𝗯𝘂𝗮 𝗯𝗶𝗹𝗮 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗵𝗮𝗸𝘂𝗻𝗮 𝘂𝗵𝗮𝗶 𝘄𝗮 𝗯𝗶𝗻𝗮𝗱𝗮𝗺𝘂 𝗻𝗮 𝘃𝗶𝘂𝗺𝗯𝗲 𝗵𝗮𝗶 𝘄𝗲𝗻𝗴𝗶𝗻𝗲” 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗙𝗼𝗿𝘁𝘂𝗻𝗮𝘁𝘂𝘀.
𝗭𝗼𝗲𝘇𝗶 𝗵𝗶𝗹𝗼 𝗹𝗮 𝘂𝗽𝗮𝗻𝗱𝗮𝗷𝗶 𝗺𝗶𝘁𝗶 𝗹𝗶𝗺𝗲𝗵𝘂𝘀𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗩𝗶𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗶 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗦𝗵𝗶𝗿𝗶𝗸𝗶𝘀𝗵𝗼 𝗹𝗮 𝗩𝘆𝗮𝗺𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗪𝗮𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮𝗸𝗮𝘇𝗶 𝗡𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 (𝗧𝗨𝗖𝗧𝗔), 𝗞𝗮𝗺𝗮𝘁𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗰𝗵𝗲𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗲𝗶 𝗠𝗼𝘀𝗶 𝗧𝗮𝗶𝗳𝗮, 𝗶𝗸𝗶𝘄𝗮 𝗻𝗶 𝘀𝗲𝗵𝗲𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗮𝗻𝗱𝗮𝗹𝗶𝘇𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶𝗺𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗮 𝗦𝗶𝗸𝘂𝗸𝘂𝘂 𝘆𝗮 𝗪𝗮𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮𝗸𝗮𝘇𝗶 𝗗𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶, 𝟮𝟬𝟮𝟲 (𝗠𝗲𝗶 𝗠𝗼𝘀𝗶) 𝘆𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮𝘆𝗼𝗳𝗮𝗻𝘆𝗶𝗸𝗮 𝗠𝗸𝗼𝗮𝗻𝗶 𝗵𝘂𝗺𝗼. 𝗞𝗮𝘂𝗹𝗶 𝗠𝗯𝗶𝘂 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗮𝗱𝗵𝗶𝗺𝗶𝘀𝗵𝗼 𝘆𝗮 𝗠𝗲𝗶 𝗠𝗼𝘀𝗶, 𝟮𝟬𝟮𝟲 𝗶𝗻𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮
“𝗞𝗮𝘇𝗶 𝗭𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗦𝘁𝗮𝗵𝗮 𝗻𝗶 𝗻𝗴𝘂𝘇𝗼 𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝘃𝘂 𝗸𝗮𝘁𝗶𝗸𝗮 𝘂𝘁𝗲𝗸𝗲𝗹𝗲𝘇𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗗𝗶𝗿𝗮 𝟮𝟬𝟱𝟬”















No comments:
Post a Comment