𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐕𝐔𝐊𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐍𝐆𝐀𝐌𝐎𝐓𝐎 𝐙𝐀 𝐌𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐌𝐁𝐈𝐋𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐖𝐄𝐊𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, 24 April 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐕𝐔𝐊𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐍𝐆𝐀𝐌𝐎𝐓𝐎 𝐙𝐀 𝐌𝐈𝐌𝐁𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐌𝐁𝐈𝐋𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐖𝐄𝐊𝐀

Kupata mimba ilikuwa ndoto yangu kubwa. Nilifurahi sana mara ya kwanza nilipopata ujauzito, lakini furaha hiyo haikudumu. Nilipoteza mimba bila maelezo ya wazi. Iliniumiza sana, lakini niliambiwa nijaribu tena.

Nilipata mimba ya pili, nikajitahidi kuwa makini zaidi, lakini bado ilipotea tena. Hapo ndipo nilianza kukata tamaa. Nilihangaika sana kutafuta majibu. Nilitembelea hospitali tofauti, nikafanya vipimo vingi, lakini hakuna aliyenipa sababu ya kueleweka.


πKila mtu aliniambia nijaribu tena, lakini moyoni nilikuwa na hofu kubwa. Nilihisi kama kuna kitu kinanizuia kupata mtoto wangu salama.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad