CHAKWERA RAIS MSTAAFU MALAWI AMEWASILI NCHINI - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, April 9, 2026

CHAKWERA RAIS MSTAAFU MALAWI AMEWASILI NCHINI

Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey, amewasili nchini tarehe 08 Aprili 2026 kwa ziara ya kikazi. Alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, alipokelewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad