Mimi nilianza biashara yangu nikiwa sina mtaji mkubwa wala uzoefu wa kutosha. Nilikuwa na matumaini tu na nia ya kubadilisha maisha yangu.
Mwanzoni mambo yalikuwa mazuri kidogo, lakini baada ya muda biashara ilianza kuyumba.
Wateja walipungua, faida ikawa ndogo, na wakati mwingine nilikuwa nikiuza bila kuona faida kabisa. Nilianza kuchoka na kufikiria labda biashara si yangu. Nilijikuta nikijiuliza kama nilikosea kuanza kabisa. Siku moja nilimweleza rafiki yangu changamoto yangu.








No comments:
Post a Comment