Kwa muda mrefu nilikuwa na ndoto moja kubwa kuwa mama. Kila mwezi nilikuwa nikiweka matumaini, lakini majibu yalikuwa yale yale. Miezi iligeuka miaka, na kila jaribio la kupata mtoto lilikuwa linamalizika kwa huzuni. Ilifika hatua nikaanza kujilaumu na kujiuliza kama kweli nitawahi kupata furaha hiyo.
Nilitembelea hospitali mara nyingi, nikafanya vipimo mbalimbali, lakini mara nyingi nilikuwa nikiambiwa “subiri tu” bila majibu ya wazi. Wakati mwingine nilihisi shinikizo kubwa kutoka kwa jamii na familia, jambo lililonifanya nijisikie mpweke zaidi.








No comments:
Post a Comment