Mimi nilikuwa nimefanya kazi kwenye kampuni moja kwa muda mrefu lakini sikuwahi kupata nafasi kubwa. Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii, lakini mara nyingi nilihisi kama juhudi zangu hazionekani. Kila mara nafasi za kupandishwa cheo zilipotoka, nilikuwa napuuzwa.
Hilo lilianza kunifanya nipoteze motisha na kujiamini. Nilianza kufikiria labda siwezi kufanikiwa zaidi kazini. Nilikuwa na hofu ya kuendelea kubaki sehemu moja bila mabadiliko yoyote. Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa kazi kuhusu hali yangu.








No comments:
Post a Comment