𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐌𝐀𝐒𝐎𝐌𝐎 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐖𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐋𝐄𝐊𝐄𝐎 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌𝐖𝐎𝐍𝐆𝐎𝐙𝐎 𝐔𝐋𝐈𝐎𝐍𝐈𝐀𝐌𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐏𝐘𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, April 27, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐌𝐀𝐒𝐎𝐌𝐎 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐖𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐋𝐄𝐊𝐄𝐎 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌𝐖𝐎𝐍𝐆𝐎𝐙𝐎 𝐔𝐋𝐈𝐎𝐍𝐈𝐀𝐌𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐏𝐘𝐀

Kulikuwa na kipindi nilikata tamaa kabisa na masomo. Nilikuwa nimeanza vizuri, lakini kadri muda ulivyopita, nikapoteza mwelekeo. Alama zilianza kushuka, motisha ikaisha, na hatimaye nikajikuta nimeacha kabisa kile nilichokuwa nimeanza.

Watu wengi walinishauri nirudi shuleni, lakini ndani yangu sikuwa na nguvu wala hamasa ya kuanza tena. Nilihisi kama nimechelewa, na hata nikirudi, singeweza kufanikiwa kama mwanzo. Hali hiyo ilinifanya nibaki pale pale bila maendeleo.

ENNDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad