Siku hiyo nilikuwa nimeenda kanisani nikiwa na matumaini ya kupata amani ya moyo. Nilikuwa nimepitia changamoto nyingi, hivyo nilihitaji faraja ya kiroho. Ibada ilikuwa inaendelea vizuri, watu wakiimba na kusali kwa utulivu.
Ghafla, hali ilibadilika bila onyo. Tulianza kusikia sauti ya ajabu nje ya kanisa, kama kitu kinakaribia kwa kasi. Sekunde chache baadaye, kundi kubwa la nyuki lilivamia ndani live kabisa.
Watu walipiga kelele na kuanza kukimbia ovyo. Wengine walijificha chini ya viti, wengine wakakimbia nje bila hata kujali viatu au vitu vyao. Ilikuwa full chaos ndani ya kanisa.








No comments:
Post a Comment