Siku hiyo ilikuwa wedding ya ndoto. Tulikuwa tumepanga kila kitu kwa perfection, kuanzia mapambo hadi chakula. Mimi nilikuwa mmoja wa waandaaji wakuu, hivyo nilihakikisha kila detail iko sawa. Wageni walikuwa wengi, music ilikuwa inaendelea, na vibe ilikuwa top kabisa.
Lakini ghafla, kila kitu kiligeuka kuwa full drama. Mgeni mmoja
alipokuwa anakula pilau, alisimama ghafla na kupiga kelele. Kila mtu
alimwangalia kwa mshangao. Nilijikuta nikienda haraka kuona kulikoni.
Nilipofika, niliona kitu ambacho kiliniacha speechless. Kulikuwa na kitu kisicho cha kawaida ndani ya pilau, kitu ambacho hakikupaswa kuwa hapo. Wageni wengine walianza kuacha kula mara moja, wengine wakaanza kuondoka taratibu.








No comments:
Post a Comment