RAIS DKT. SAMIA AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAGOMBEA WA NAFASI YA URAIS WALIOSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA, 2025 - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, 1 April 2026

RAIS DKT. SAMIA AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAGOMBEA WA NAFASI YA URAIS WALIOSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA, 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Wagombea wa Nafasi ya Urais na Wagombea Wenza kutoka vyama vya Siasa 16 vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba, 2025. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam tarehe 31 Machi, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wagombea wa nafasi ya Urais wa Vyama vya Siasa 16 vilivyoshiriki Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwezi Oktoba, 2025 mara baada ya mazungumzo yao, Ikulu jijini Dar es Salaam tarehe 31 Machi, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad