Mimi nilikuwa napambana sana shuleni lakini matokeo yangu hayakuwa mazuri kama nilivyotarajia. Kila mtihani ulipofika, nilihisi kama sijajiandaa vya kutosha hata kama nilisoma kwa muda mrefu.
Nilikuwa naona wenzangu wakinipita kwa alama nzuri na mafanikio makubwa.
Hali hii ilianza kunifanya nipoteze kujiamini na hata kupunguza hamasa ya kusoma.
Nilijaribu kubadilisha mbinu za kusoma.
Wakati mwingine nilikaa usiku kucha, wakati mwingine nilisoma peke yangu, lakini bado nilihisi kama kuna kitu kinakosekana.








No comments:
Post a Comment