𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐆𝐎𝐆𝐎𝐑𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐓𝐔𝐀𝐂𝐇𝐀𝐍𝐄 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 10, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐆𝐎𝐆𝐎𝐑𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐓𝐔𝐀𝐂𝐇𝐀𝐍𝐄 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀

Ndoa yangu ilianza vizuri sana. Tulikuwa marafiki, wapendanao, na watu wengi walitamani kuona upendo tuliokuwa nao. Tulicheka pamoja, tukapanga maisha yetu ya baadaye, na nilikuwa na uhakika kuwa nimepata mwenzi wa maisha. Lakini polepole mambo yalianza kubadilika.

Migogoro ilianza kwa vitu vidogo vidogo. Mara ni pesa, mara ni mawasiliano, mara ni mambo ambayo hata hayakuwa na uzito mkubwa. Tulianza kugombana karibu kila wiki. Kilichonishtua zaidi ni kwamba ugomvi mdogo ......ENDELEA  KUSOMA




 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad